RC SHIGELA AWATAKA WANCHI KUTUNZA MIRADI YA ISLAMIC FOUNDATION
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Martine Shigela amewataka wananchi Mkoani humo kutunza na kusimamia vizuri miradi yote inayotekelezwa na Taasisi ya The Islamic Foundation ili kujenga ustawi imara wa jamii ya watanzania. Shigela alitoa wito huo jana alipotembelea miradi mbalimbali inayotoa huduma za kijamii katika Halmashauri ya Manispaa ya Morogoro na kuridhishwa na kazi nzuri inayofanywa na
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed